Hatimaye Kanye West na Kim Kardashian teyari wamechagua jina la kumpa mtoto wao wa kike na kumwita North West aliyezaliwa hivi karibuni
Kim na Kanye wamepata mtoto wao wa kwanza na kuamua kumwita rasmi jina hilo huku wakidai kuwa wanapenda afupishwe jina hilo na kuitwa Nori
Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa familia hiyo aliweka wazi kuwaa wawili hao walikubaliana jina hilo baada ya kupita siku tano za kujifungua kwa Kim