Baada
ya Ney Wa Mitego kutoa Track ya Salam Zao, Kuna tetesi Kuwa Muandaaji
wa BSS Madam Rita anampango kumfungulia Kesi ya Madai Ney wa Mitego kwa
Kumchafua (Defamation) kwani eti alisema Madam Rita huwa hatoi zawad
anazoziahidi kwa washindi wa shindano lake la kusaka Vipaji,
Je Kama ni kweli kuhusu Kesi hii Ney wa mitego ataweza kulipa milioni 500? Tayari msanii huyo amesema yuko tayari kwenda mahakamani na ataweka mwanasheria wa kumtetea.
Je Kama ni kweli kuhusu Kesi hii Ney wa mitego ataweza kulipa milioni 500? Tayari msanii huyo amesema yuko tayari kwenda mahakamani na ataweka mwanasheria wa kumtetea.