**PICHA MAKTABA
Wabunge wa Kambi ya Upinzani wametoka nje baada Naibu spika kushindwa
kutolea ufumbuzi hoja za upinzani na kutaka kuwaburuza baada ya kusimama
Tundu Lisu kuuliza muongozo kuhusu kuleta mswaada bila kuwahusisha Zanzibar
huku Tanganyika wakihusishwa!
Naibu spika akatumia nguvu ya kiti cha spika kumzuia asiongee ndipo
upinzani kutoka nje!credit: JF