LYRICS: ALI KIBA – AJE FT. M.I ABAGA



[Verse 1 – Ali Kiba]

Ucheshi na sauti

Amenifanya nam miss tu

Mwambie asiogope

Ali ni kipenzi cha watu

Ntafanya party nyumbani

Hiyo yote kwa ajili yake

Tena asije peke yake

Asiogope aje na wenzake

Ntafanya party nyumbani

Hiyo yote kwa ajili yake

Tena asije peke yake

Asiogope aje na rafiki zake eh

[Hook – Ali Kiba]

Basi mwambie aje “aje”

Oh aje “aje”

Aje na rafiki zake “aje”

Asije peke yake “aje”

Oh aje “aje”

Aje, oh aje “aje”

Aje jamani aje “aje”

Aje nam miss aje “aje”

[Verse 2 – Ali Kiba]

Uzuri wake timilifu

Nshamuona na watu maarufu tu

Kina Wema Sepetu

Nikaomba namba bichwa akanishushua shuu!

Ilinikosesha raha

Lulu nae kandanganya

Kwamba mi ni wa kwake

Aniogope tena asinichekee

Ilinikosesha raha

Lulu nae kandanganya oh

Kwamba mi ni wa kwake

Aniogope tena asinichekee

[Hook – Ali Kiba]

Basi mwambie aje “aje”

Oh aje “aje”

Aje na rafiki zake “aje”

Asije peke yake “aje”

Oh aje “aje”

Aje, oh aje “aje”

Aje jamani aje “aje”

Aje nam miss aje “aje”

[Verse 3 – M.I]

I say, I say, I say…

I’m gonna marry you one day

Come through baby girl

I just want us to speak

See we met on a Monday

You must be next Monday

Cause you make it one week

Have you been to the West side?

Forget whatever you seen on them Nollywood films

I wanna be your best guy

So let’s try till you testify no one’s better than him

So baby, give me your digits

Let me google map location, come and visit

You should show up in something exquisite

I can come over to yours, girl, where is it?

You could teach me to speak in Swahili

Like “sawa sawa, mambo vipi?”

Can you tell that I’m feeling you really?

Ali Kiba and M.I, my baby, I know that you feel me

[Hook – Ali Kiba]

Basi mwambie aje “aje”

Oh aje “aje”

Aje na rafiki zake “aje”

Asije peke yake “aje”

Oh aje “aje”

Aje, oh aje “aje”

Aje jamani aje “aje”

Aje nam miss aje “aje”

[Outro]

Come through, baby

I want you to come through, baby

Come through, baby

I want you to come through, baby

Come through, baby

I want you to come through, baby

Come through, baby

I want you to come through, baby

Share this post :
https://www.facebook.com/hassani.haji

Follow me on instagram

https://www.instagram.com/hancyclassics/

Follow Me Insta

A photo posted by hancyb (@hassanaly_b) on

 
Support : hassani bakari haji | +255755537543 | +255712919980
Copyright © 2016. hancyclassics - All Rights Reserved
Template Created by hassani bakari Published by hassani bakari
Proudly powered by hassani