Picha:Yaliyojiri kwenye uzinduzi wa video ya wimbo mpya wa Diamond Platinum 'Number One

Msanii wa kizazi kipya Naseeb Abdul aka Diamond Platinum jana alizindua video ya wimbo wake mpya 'Number One' kwenye hoteli ya kifahari 'Serena Hotel' iliyopo jijini Dar es Salaam.

Katika uzinduzi huo pia Diamond alimpa  zawadi ya gari Msanii Mkongwe Ngurumo aliyetangaza kustaafu siku za hivi karibuni.
Diamond alisema amesikitishwa sana baada ya kusikia msanii huyo kustaafu katika muziki na bila kumiliki gari lolote katika enzi za ujana wake mpaka uzeeni ndio sababu ya kumpa zawadi ya gari aina ya Funcargo.









Itazame hii video uone yaliyojiri kwenye uzinduxi a video ya wimbo mpya wa Diamond 'Number One'
Share this post :
https://www.facebook.com/hassani.haji

Follow me on instagram

https://www.instagram.com/hancyclassics/

Follow Me Insta

A photo posted by hancyb (@hassanaly_b) on

 
Support : hassani bakari haji | +255755537543 | +255712919980
Copyright © 2016. hancyclassics - All Rights Reserved
Template Created by hassani bakari Published by hassani bakari
Proudly powered by hassani