Young Killer afanya collable na msanii wa hip hop mwenye miaka 11

Young Killer afanya collable na msanii wa hip hop mwenye miaka 11


Msanii anaeiwakilisha Mwanza, kutoka Super Nyota 2012, "Young Killer"  amefanya collable na msanii mdogo wa hip hop (11) anaeiwakilisha Mwanza pia "Dogo D" 

Collable hiyo waliyoipa jina la "Bora tu nipate Bora tu nipate maadui" inategemewa kutoka wiki ijayo.
Dogo D ni msanii wa hip hop ambae licha ya kuwa na umri mdogo kiasi hicho ameshafanya collable na Roma (haijatoka) na tayari ana single ambayo inafanya vizuri  pande za Mwanza "Mungu Nipe" feat Abuu Mkali.

Share this post :
https://www.facebook.com/hassani.haji

Follow me on instagram

https://www.instagram.com/hancyclassics/

Follow Me Insta

A photo posted by hancyb (@hassanaly_b) on

 
Support : hassani bakari haji | +255755537543 | +255712919980
Copyright © 2016. hancyclassics - All Rights Reserved
Template Created by hassani bakari Published by hassani bakari
Proudly powered by hassani